Uzi wa vyakula tu

@cadey hicho kiazi unapikaje?

Nimependa chakula.....
Una kaanga viazi au ku vi bake baadae utavichanga/ vuruga pamoja kwenye sauce uliyopika kwa kutumia vitunguu,nyanya,ginger&garlic na mboga mboga zingine na viungo kwa chaguo lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…