Uzi wa vyakula tu

Na mimi naisubiria hiyo recipe lkn mpaka ajibu inahitaji uvumilivu SIERA

Vipapatio :
Unaweka chumvi na saumu
Unaacha kama masaa na 4
Then unachukua unga wa ngano unaweka pilipili mtama, paprika, pilipili ya unga unavichanganya unachovya hizo vipapatio vyako unapanga kwenye tray unaweka kwenye oven vikishaiva unatoa..
Sauce yake :
Unachukua
Sukari kidogo sana
Vinegar nusu kikombe hivi
Soya sauce nayo kama nusu kikombe
Cornflower kama kijiko cha chai
Unachanganya unabandika jiko vikishachemka weka vipapatio vyako changanya then rudisha kwa oven kama dk 5 hivi oven iwe na moto bs tayari kwa kuliwa.. unaweka na rangi kama utapenda mie nimeweka red color kidogo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naomba recipe nimeipenda

Sent using Jamii Forums mobile app
vipapatio
Unaweka chumvi na saumu
Unaacha kama masaa na 4
Then unachukua unga wa ngano unaweka pilipili mtama, paprika, pilipili ya unga unavichanganya unachovya hizo vipapatio vyako unapanga kwenye tray unaweka kwenye oven vikishaiva unatoa..
Sauce yake :
Unachukua
Sukari kidogo tu kama nusu kijiko cha chai depends na wewe
Vinegar nusu kikombe
Soya sauce nusu kikombe
Cornflower kijiko cha chai
Unachanganya unabandika jiko vikishachemka weka vipapatio vyako changanya then rudisha kwa oven kama dk 5 hivi oven iwe na moto bs tayari kwa kuliwa.. unaweka na rangi kama utapenda mie nimeweka red color kidogo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Asante sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…