Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

1580566452256.png
 
vipapatio
Unaweka chumvi na saumu
Unaacha kama masaa na 4
Then unachukua unga wa ngano unaweka pilipili mtama, paprika, pilipili ya unga unavichanganya unachovya hizo vipapatio vyako unapanga kwenye tray unaweka kwenye oven vikishaiva unatoa..
Sauce yake :
Unachukua
Sukari kidogo tu kama nusu kijiko cha chai depends na wewe
Vinegar nusu kikombe
Soya sauce nusu kikombe
Cornflower kijiko cha chai
Unachanganya unabandika jiko vikishachemka weka vipapatio vyako changanya then rudisha kwa oven kama dk 5 hivi oven iwe na moto bs tayari kwa kuliwa.. unaweka na rangi kama utapenda mie nimeweka red color kidogo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Asante sana mkuu najifunza mapishi mapya toka kwako hivyo usinichoke
 
Back
Top Bottom