babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Matatizo hayo ninayo hapa,dogo teen ye ni mpunga tu na viepe kuku daily.Hiyo mboga kiporo cha jana namalizia leo na ugali. Ugali nitasonga baadae nao niuweke? Ila nyumba yangu hawapendi ugali wanasusa hawali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] najikuta nakula mwenyewe.
Lakini namuambiaga dogo ukiwa na kwako utachagua msosi hapa unakula ninachotaka mie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zimeenda kununuliwa bia....ni party time chini ya mti![emoji18][emoji18][emoji18] View attachment 1350808
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tusitiane njaa tafadhali... Wengine bado hatujauona
Jr[emoji769]
location?Zimeenda kununuliwa bia....ni party time chini ya mti![emoji18][emoji18][emoji18] View attachment 1350808
Rafiki unataka kuja?[emoji1][emoji1][emoji1]location?
kama bado kuku yupo sawa.Rafiki unataka kuja?[emoji1][emoji1][emoji1]
Kuku ameshaisha ila bia bado zipo![emoji38][emoji38][emoji38]kama bado kuku yupo sawa.
Buza mpendwa