Mtalebani Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 12, 2020
- 547
- 632
Mkuu kuhusu kupikwa sio mjuzi sana, Mimi najua kula tu.INAPIKWAJE?
Chief hivi mikate inakuwa imepakwa nini kati kati? Ni bond ama jam?Chai ya Agha khan hosp
Sent from Ili iweje
Starehe yangu![emoji18][emoji18][emoji18] View attachment 1394230
Kwa hiyo siku hizi umeacha kula nyama ya kuchoma ya mbuzi?Wenzako sisi ni wala bata lakini wewe ni mla nyama
Jr[emoji769]
Samaki sio mboga?!Mbona ugali bila mboga?
[emoji8][emoji8][emoji39]Yummy![emoji39][emoji39][emoji39]My go-to all time fav fast food "tuna sandwich".....napopata uvivu wa kupika.View attachment 1395467
Sent using Jamii Forums mobile app
Khaaa we nae comment ya mwaka 2017 ndio unajibu leo?Samaki sio mboga?!
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
Kwani kuna tatizo? [emoji44][emoji44][emoji44] maandishi yanaishi.
nikiona nyanya hivyo huwa najisikia vibaya
nilijua nipo peke yanguKwanini tusiwe tunapeana recipe za siku?
Muda mwingine una nataka kupika ila unashindwa upike nini?
Nimechoma maini kidogo hapa[emoji18][emoji18][emoji18] View attachment 1395773
DaaaaaahNimechoma maini kidogo hapa[emoji18][emoji18][emoji18] View attachment 1395773
Yanakua matamuNimechoma maini kidogo hapa[emoji18][emoji18][emoji18] View attachment 1395773