Niko hapa dear! Nilete Sato au sangara?Napenda chamaki nilikosaga tu mwanaume wa mwanza
Mahari ingekuwa chamaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Maboga[emoji7][emoji7][emoji39][emoji39]Wale wapenda maboga wenzangu
Boga la nazi
Usipime[emoji14][emoji14]View attachment 1449032
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah! Si mchezo hayo mazaga corona iombe poo
Za nyama au viazi?
Hiki ni chakula cha kununua au you carry it from home?
Za nyama au viazi?
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Siku ukipika za mboga za majani nishtue[emoji39][emoji39]za nyama,bora Nile za mboga za majani sio viazi aisee
Hapa napikiwa best
Jr[emoji769]
Siku ukipika za mboga za majani nishtue[emoji39][emoji39]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]