Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Hujaona hiyo mikate miwili hapo? Ina nyama na makorombezo katikati.
Na juice ya tikiti ilikuja [emoji23][emoji23][emoji23] ika nilivyofika home nikala tena mkate na chai.
Haitoshi[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani wametia tuchips tutatu jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: amu
Yeah ni sahihi mkuu.. sema labda preference ndo inapewa kipaumbele kwa mtu anaependa kula pamoja na matunda.. na mwingine ana prefer kula matunda pekeake.. lkn nilishawahi kusikia wataalamu wakisema unaanza kula matunda kwanza unakaa kidogo kama nusu saa then ndo unakula chakula.. sasa sijajua hapo which is the very best option among those two
Virse versa,kula chakula then malizia matunda ndo utaratibu otherwise ni ulafi tu.kula chakula na sallad ni sawa.matunda na chakula big no labda buffé ya harusini maana yatakwisha.
 
Haitoshi[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani wametia tuchips tutatu jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu bei sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unaweza kulia
Mimi sikushiba nimefika kwangu nikala tena mkate na chai [emoji1787].
Lakini niliyekuwa nae yeye anakuka tu hako kamkate kamoja na chungwa eti anashiba [emoji23] na ana limwili likuuuuubwaaa sana
 
Halafu bei sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unaweza kulia
Mimi sikushiba nimefika kwangu nikala tena mkate na chai [emoji1787].
Lakini niliyekuwa nae yeye anakuka tu hako kamkate kamoja na chungwa eti anashiba [emoji23] na ana limwili likuuuuubwaaa sana
Atakuwa na minyoo huyo Sio bure[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sh ngapi hicho?
 
  • Thanks
Reactions: amu
Karibuni jamani
IMG_20200611_155850.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anakusoma hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ngoja nitafute risiti nikuwekee.
Hee
Kumbe yupo ananiona hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ajitokeze Basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hee
Kumbe yupo ananiona hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ajitokeze Basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
@Hornet njoo useme hapa umeambiwa ujitokeze
 
@Hornet njoo useme hapa umeambiwa ujitokeze
Aiseee [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi hii hii siku hakuwa na mood ya kula.

Kuna siku alikula chakula akapost humu aliitendea haki ile sahani ya wali
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom