Uzi wa vyakula tu

Imani tu best angu ..we kula kwa raha zako

Mchana unakula bondo la nguvu jion unamalizia na viepe
Kwahiyo inasadikika ukila dona na samaki kambare na kachumbari pembeni na parachichi zoezi lile unakua mkalia hatari
 
Acha kujidanganya mdogo wangu kwan hapo cha kumfanya dem aadisie nn!? Hzo chapat, nyama au hyo nyagi?. Hebu jishkirie kdg babu!!!
Unajuaje mi mdogo kwako? Ungekuwa wa kike ningejiuliza kwann umeniuliza hv ila wa kiume sasa nkujib vp mkuu...? We piga tambi na chai alaf ukagegede...
 
Unajuaje mi mdogo kwako? Ungekuwa wa kike ningejiuliza kwann umeniuliza hv ila wa kiume sasa nkujib vp mkuu...? We piga tambi na chai alaf ukagegede...
Dogo hayo maisha ya chapat tambi na nyagi tunawaachia nyny. Wanamume kwa upande wa kugegeda mazoez tu plus maji kwa sana, tangawiz na asali znatutosha. We endelea na chapat na nyagi [emoji23]
 
Dogo hayo maisha ya chapat tambi na nyagi tunawaachia nyny. Wanamume kwa upande wa kugegeda mazoez tu plus maji kwa sana, tangawiz na asali znatutosha. We endelea na chapat na nyagi [emoji23]
Umevuka 40 mkuu unavoniita dogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…