Uzi wa vyakula tu

Hatari sana, kuna watu huwa wa nakuwa vidudu mtu, ukikonda wanasema una ngoma ukiwa na mwili watumia arv, ukiwa kawaida wanasema ana stress na maisha, daah wali mwangu hawana jema!
Wanene wanahangaika kupungua
Wembamba tunahangaika kuongezeka
 
Hatari sana, kuna watu huwa wa nakuwa vidudu mtu, ukikonda wanasema una ngoma ukiwa na mwili watumia arv, ukiwa kawaida wanasema ana stress na maisha, daah wali mwangu hawana jema!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi napambana kurudisha kilo zangu chache zilizopotea ili nirudi nilipokuwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…