Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Hapo ningeongezea mlenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapi hapo?
Hiyo sehemu unayosema unapenda kwenda. Maana naona wanachakula kinachovutia macho.Sijakuelewa
Katakata boga weka chumvi mafuta kidogo kama Una olive oil itakua bora zaidi weka pilipili mtama na ya unga kidogo Saumu changanya vyote tia kwenye oven
Mchopa umetisha sana,
Hiyo sehemu unayosema unapenda kwenda. Maana naona wanachakula kinachovutia macho.
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] hujafanya haki[emoji847][emoji847][emoji847]View attachment 1612591
[emoji30][emoji30][emoji23]kweli kabisaView attachment 1612657