Ni wapi hapo?
Hiyo sehemu unayosema unapenda kwenda. Maana naona wanachakula kinachovutia macho.Sijakuelewa
Katakata boga weka chumvi mafuta kidogo kama Una olive oil itakua bora zaidi weka pilipili mtama na ya unga kidogo Saumu changanya vyote tia kwenye oven
Mchopa umetisha sana,
Hiyo sehemu unayosema unapenda kwenda. Maana naona wanachakula kinachovutia macho.
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] hujafanya haki[emoji847][emoji847][emoji847]View attachment 1612591
[emoji30][emoji30][emoji23]kweli kabisaView attachment 1612657