Uzi wa vyakula tu

[emoji115] [emoji115] [emoji115][emoji115] Sheli sheli [emoji115] Doriani[emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Woooooo umenikumbusha zanzibar mie jamañiii ila hilo doriani limenichefua kabisa...
Harufu kama vidonge vya mseto sijawahi kulila hata sitaki kuliona Though Linauzwa bei ghari Tsh5000
 
Hayo mashelisheli yana ladha gan mwanzo sikujua kama yana liwa coz nilikuwa naona watoto wacheza nayo kama mpira
Katika kuliwa kwake linaliwa kama embe au ndio mpaka lipikwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…