Kumekucha
Kama unaishi sinza utakuwa unajua sehemu hii maarufu ya mbuzi
Lazima utakuwa mtu wa sinza weweKumekucha
Sijaona mishkaki tu
Wale wa maeneo yetu J2
Mkuu hapo kuna mtu asiyepajua kweli ila mbuzi ya hapo tamu mnoooo yaanLazima utakuwa mtu wa sinza wewe
[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Ndio kinaitwa je
CaramelNdio kinaitwa je
Woooooo umenikumbusha zanzibar mie jamañiii ila hilo doriani limenichefua kabisa...[emoji115] [emoji115] [emoji115][emoji115] Sheli sheli [emoji115] Doriani[emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hayo mashelisheli yana ladha gan mwanzo sikujua kama yana liwa coz nilikuwa naona watoto wacheza nayo kama mpira[emoji115] [emoji115] [emoji115][emoji115] Sheli sheli [emoji115] Doriani[emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hii nini
Ijumaa kama kawaida
Hii nini