Uzi wa vyakula tu

Misosi yake mingine ya kiswahili vipi,iko fresh?
Mmmh.ni balaa yule dada anajua aisee...yuko updated sana kwenye misos...ingawa sjaenda tena[emoji16]

Sio mpenZ sana wa ma desert..na pia ilr venue yake ya zaman ilikua si rafiki kwenda na beibe...
 
taste na ya Dotscup nayo ni balaa
Unajua..watu wanazikoseaga hzo..kuna ambao huwa hawa bance sukar..inakua na misukariiiiii...sasa kwa sie wanywa pombe huwa inakua tabu.ila ukikutana na mjuzi..aisee anaibalance sugar unaweza shangaa umeimaliza yote
 
Ni nzuri sana ukipata samaki fresh..ndio mchawi wangu yule watu wanabaki wakisema yule jamaa halewiii halewiii kumbe nikitoka nyumban nishajishindilia mambo yangu
Sasa unapata raha gan mkuu unaenda maeneo halaf hulew...sie wengne tukienda maeneo lazima tuchangamke...
 
niliagiza China
ni nzuri nikiwa sijisikii kukaanga nakata kila kitu natia spices nafunika
nanyoosha miguu
narudi nageuza juu chini
nafunua tayari kwa kula
Nitoe ushamba,hata kwenye gesi unaweza pikia au ni mkaa pekee?
 
Sasa unapata raha gan mkuu unaenda maeneo halaf hulew...sie wengne tukienda maeneo lazima tuchangamke...
Ndio maana nimeacha..nimeona ni ujinga,niendako ningeanza kutafuta hata vile vilevi vya mateja ili nipate vibe
 
Wakuu hivi kumbe lile tunda la ndizi linalotokea kwa mbele baada ya ndizi kukomaa(rangi kama damu ya mzee hivi) linaweza kutumika kama replacement ya kitunguuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…