Uzi wa vyakula tu

[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji117] [emoji108]
[emoji117] [emoji108]
[emoji117] [emoji108] [emoji97] [emoji97] [emoji98]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
[QUOTE="Nokia83, post: 25741170, member: 20015


Kongwa hiyo...karibuni nyama[/QUOTE] Umenikumbusha Mbande..njia ya kwenda Mpwapwa
 
[QUOTE="Nokia83, post: 25741170, member: 20015


Kongwa hiyo...karibuni nyama
Umenikumbusha Mbande..njia ya kwenda Mpwapwa[/QUOTE]

Hahahahaha kuna siku bado kidogo basi la ngasere liniache hapo kwa sababu ya kutaka nyama
 
Ni vitu gani hivyo?
Kama huwa unapita kariakoo
Kule sokoni wanauza sijui jina lake
Yako kama mafenesi ila ya duara madogo madogo.
Ukitafuna unga unajaa mdomoni

Ila nilijaribu nikaona hayana ladha

Ni kama viazi vitamu
 
Pole sana mkuu, naweza nikasamehe pilau ila sio hayo. Tena yakiwa ya nazi na samaki dah![emoji39] [emoji39] [emoji39]
Hivi mnayaitaje?

Mie pilau hata kama naumwa siachi,
Pilau,
Nyama
Ndizi
And salads
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…