Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Mate
IMG_20210607_134850.jpg
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 1811633
Hehe, haiwezekani shaitan akanifanya hivyo! 🤔 Hapo naokota sembe pole pole, alafu niifanye ka nachambua chungwa maganda, top layer naitoa alafu kitu nikirudishe jikoni faster. Hapo pa mboga, ka ni kuku, namwosha, tena naenda mtafutia tamata zingine, niseti urojo upya, ka ni mboga za majani, wacha kuku wakale waongeze kilo! 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom