Uzi wa vyakula tu

Jamani msiniongezee sana hata 68kg sijafika. [emoji3061][emoji3061]
Unaweza kuwa 68kgs na ukawa Big Momma! Maana nikiona hiyo mikono yako huwa nahisi mapigo ya moyo yanaongezeka kasi! [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Kabisa! πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Ukijakuta kapika wema sepetu alafu hajapika kabandika picha tu huku mwajuma ndo mpishi.
We ushahonga Range.
Yule jamaa sijui km anaendelea kuuza vihepe.
Mkija mjini mpige honi angalau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…