sonjames
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 289
- 386
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndiyo yenyewe ukiongezea na k vant ndogo lazima mtu akimbie. Niko vzr sana![]()
Mkuu umenikumbusha kwa bibi.hasa huo mlenda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe sio kabisa. Hebu tuwekee mchemsho wa nziPicha itakayofuata baada ya hii nitakuonesheni Mapishi mengine ya Chavi Chavi.
![]()
Inapatikana wapi hiyo mkuu tupate kuionja............Karibuni Mishikaki ya Nyoka.
![]()
Karibu sana Kiongozi.Mkuu yani huwa nikiaona Id yako hii ya HARUFU na yule jamaa anajiita washawasha mie huwa ni kicheko hata kama sikucheka wiki nzima huwa nasitukia nimecheka
😀.Inapatikana wapi hiyo mkuu tupate kuionja............
Kati ya vyote hiki ndo kimenitoa udenda...[emoji39] [emoji39] [emoji39]![]()
Karibuni cha usiku !