Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembea uone mengi kwa kweli.kitu cha supu ya mende
View attachment 566192
Naruhusiwa kuja na maharage ya nazi?
Nguruwe nzuri kweli iyo.
Huu ni uchochezi mkapimwe mkojo. Baada ya kuona hizi picha njaa imerudi tena
Wewe ni mlafi wa nyama choma mshana jr
Pole sana mkuuHuu ni uchochezi mkapimwe mkojo. Baada ya kuona hizi picha njaa imerudi tena
[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] ngoja nimalize kula kwanza. Ndio ntiakusikilizaPole sana mkuu
Sawa mkuu[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] ngoja nimalize kula kwanza. Ndio ntiakusikiliza
Ninaona uono hapo umechemshwa na limao, hapo umekosa sangara au papa ya kuchoma.
Ahsanteeee
Mkuu acha bhana
Bei ikoje hii Mkuu?
Ha ha ha ha ha hamshana jr Bora umeleta huu uzi mfungo umeshaisha.
Ungekuja mwezi wa ramadhan kuna swaumu zingeharibika.
Sio wa kuupitia ukiwa na njaa kabisa, utateseka,
[emoji24] [emoji24] [emoji24]Wewe ni mlafi wa nyama choma mshana jr
Karibu
Acha kabisa hiyo mamboNinaona uono hapo umechemshwa na limao, hapo umekosa sangara au papa ya kuchoma.