Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weee. Double bundle
Babamamanamtoto[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] salivating
Mmh unatafuta kufaDah wakati mimi niko huku View attachment 638192
Jana si nikaangusha tena kitu cha hii sasa sifa, nilisahau kutupia kapicha huku[emoji39] [emoji39]
Jana si nikaangusha tena kitu cha hii sasa sifa, nilisahau kutupia kapicha huku[emoji39] [emoji39]
Tena tukijaaliwa mara hii nataka niangushe ndege[emoji239] [emoji239]Hahah..siku nyingine usisahau. HSS
Tena tukijaaliwa mara hii nataka niangushe ndege[emoji239] [emoji239]
Mualiko ni miguu yenu tu, karibuni GomzItapendeza kukiwa na mualiko.
[emoji39] [emoji39] [emoji39] nitajialika
Mualiko ni miguu yenu tu, karibuni Gomz
Usisahau pilipili, na mimi kwenye jokofu kuna achari ya embeAmen..itabidi nije na ndizi.