Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

0087b2fcd322320348f7076770c3b83c.jpg
 
Ankoo kichuri ndiyo nini mimi mshamba
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ni uchafu unaokamuliwa Kutoka kwenye utumbo wa ng'ombe/mbuzi(mimi naona n kinyesi tu)huandaliwa kwa ajili ya kula na nyama choma [HASHTAG]#alibakari[/HASHTAG] ndo anajua kwasabab yeye ni wa kandamaalum kule Taaaariiiimee
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ni uchafu unaokamuliwa Kutoka kwenye utumbo wa ng'ombe/mbuzi(mimi naona n kinyesi tu)huandaliwa kwa ajili ya kula na nyama choma [HASHTAG]#alibakari[/HASHTAG] ndo anajua kwasabab yeye ni wa kandamaalum kule Taaaariiiimee
Hahahaha ah ankoo upo vizuri mimi sijui banah,ushamba mzigo ankoo
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ni uchafu unaokamuliwa Kutoka kwenye utumbo wa ng'ombe/mbuzi(mimi naona n kinyesi tu)huandaliwa kwa ajili ya kula na nyama choma [HASHTAG]#alibakari[/HASHTAG] ndo anajua kwasabab yeye ni wa kandamaalum kule Taaaariiiimee
Hapo tayari umemwelewesha[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom