Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

.
IMG_20180315_121412.jpg
 
Sawa. Ila "mayonaiz"
[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] kwani mkuu ukila mayonaiz unahisi kama unakula nini?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] kwani mkuu ukila mayonaiz unahisi kama unakula nini?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Unapata shape kama ya miss natafuta [emoji23] [emoji23]
 
Ila huu Uzi nimeamini watu wasemayo kwamba wanaume wanajipenda na ni wachoyo sana kwenye kula, yaani Uzi umejaa wanaume tu wakipost vyakula vizuri na wengi sana wakionekana wako vinakouzwa hivo vyakula na sio nyumbani kwa wife.. Hapo unakuta wife anashindia ugali na matembere mwanaume nje anapiga mbuzi choma nusu na mazagazaga kibao[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume Mungu anawazoom..
 
Ila huu Uzi nimeamini watu wasemayo kwamba wanaume wanajipenda na ni wachoyo sana kwenye kula, yaani Uzi umejaa wanaume tu wakipost vyakula vizuri na wengi sana wakionekana wako vinakouzwa hivo vyakula na sio nyumbani kwa wife.. Hapo unakuta wife anashindia ugali na matembere mwanaume nje anapiga mbuzi choma nusu na mazagazaga kibao[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume Mungu anawazoom..

Ww unampikia yule jamaa vzr?
 
Ila huu Uzi nimeamini watu wasemayo kwamba wanaume wanajipenda na ni wachoyo sana kwenye kula, yaani Uzi umejaa wanaume tu wakipost vyakula vizuri na wengi sana wakionekana wako vinakouzwa hivo vyakula na sio nyumbani kwa wife.. Hapo unakuta wife anashindia ugali na matembere mwanaume nje anapiga mbuzi choma nusu na mazagazaga kibao[emoji23] [emoji23] [emoji23] wanaume Mungu anawazoom..
Aaaah mbona humu wanawake wapo wengi wakiongozwa na missyrose
 
Back
Top Bottom