Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We haya tu, siku nikipita maeneo ya huko na kudondoka mlangoni kwako, na kuzimia tafadhali usinimwagie maji[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Ha ha ha haaa nikishavuta huwa navila tu, hata kama zingekuwa chapati basi zingekuwa 4Vitumbua sivipendiii
Mkuu unakulaje vyote hivyo?
Asante mme wangu nipo pamoja na wewe chakula kilikuwa kitamuCC : Demiss wa mimi View attachment 723847
We haya tu, siku nikipita maeneo ya huko na kudondoka mlangoni kwako, na kuzimia tafadhali usinimwagie maji[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Msosi gani huu nimeumind.. Ngoja chamdeko aje aigilizie
Hizo pipi za nini?Mme wangu nimechelewa leo kulaaa si unajua nilikuwa na mishe gani leooo.View attachment 724042View attachment 724043
Unapenda sana chipsi?View attachment 724063karibun waungwana ingawa nimechelewaa
ha haaaa nzuri hii
SanaUnapenda sana chipsi?
Karibu kwangu nikupikieSana
Mhh!!Karibu kwangu nikupikie
Tatizo mini kwani mkuu, sometime unajitoa tu, kea like akipendacho rafiki yako.Mhh!!
Hujatulia wewe! Angalia ulichoandika sasa. Sina shida na weye Amiii!Tatizo mini kwani mkuu, sometime unajitoa tu, kea like akipendacho rafiki yako.