Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peleka jukwa la matangazo.karibu kwa wale wa bata,bata aina ya pekin,wote majike Tsh 120,000/- kwa mmoja.mbezi beach,dial 0713246244
Chakula kidogo mboga nyingi,hapo ubwabwa uongezwe[emoji39] [emoji39]View attachment 747962
Mshana naona unakulaga baa tu
Ya kugegeda😀 😀 😀 Majukumu ndugu yangu
Wenye meno imara wanafauduuuKaribuni, mambo ya kwetu msiniulize wapi tafadhali![emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] View attachment 751539View attachment 751540
Kudadadeki...Asubuhi na mimi nilikula hiyoView attachment 753365
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] yumiKaribuni, mambo ya kwetu msiniulize wapi tafadhali![emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] View attachment 751539View attachment 751540
Hapana ndivyo inavyotakiwa kiafya mboga mboga zinatakiwa ziwe nyingi katika mlo wakoChakula kidogo mboga nyingi,hapo ubwabwa uongezwe
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Karibuni, mambo ya kwetu msiniulize wapi tafadhali![emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] View attachment 751539View attachment 751540
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Karibuni, mambo ya kwetu msiniulize wapi tafadhali![emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] View attachment 751539View attachment 751540
Kwa heshima na taadhima, naomba kujua hiki ni chakula gani.
Samahani mkuu, huu ni uzi wa picha za vyakula tu.