Chukua like
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua like
Mkuu hapo unashiba ?[emoji493] [emoji529] View attachment 858271
Hapo umekosekana mchicha uliotiwa pilipili ama tembele tu.Samaki flan iv amazing na wali was Nazi amazingView attachment 849670
Sent using Jamii Forums mobile app
DaAhWali wa naz iv amazing na njegere flani iv amazing karibuni View attachment 849704
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona watu mnakula maisha.
Huyu Alibakari nimemkumbuka sana, jamaa anajua kupika balaa.Jamani babulakibaha na @alibakari wapo wapi mbona siwaoni siku hizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah nashiba usiku haitakiw ule sana kamandaMkuu hapo unashiba ?
Mkuu, nyama hakuna humo?Cha usiku
Huu uzi ni balaa.Wikiendi swafii
Zipo chini captainMkuu, nyama hakuna humo?
Hahah kwaniniHuu uzi ni balaa.
Kuna watu mnakula maisha hadi wengine twawaonea wivu.
Dingi mtoto upigwe ban.
Huo msosi si mchezo, jamaa apigwe ban.
Amna kamanda mbona misosi ya kawaida tuKuna watu mnakula maisha hadi wengine twawaonea wivu.
Hahahah!!aisee kama ulikuwepoDah... Maharagwe ya mbeya hayo mchele wa Ifakara.... Maji maramoja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh kwanin johDingi mtoto upigwe ban.