Nimelipenda hilo nofu la samaki na parachichi ila mimi kande kama kande hazipandi, nilikulaga nikaumwa tumbo balaa.Kande aga tamu ila..karibuni View attachment 856519
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimelipenda hilo nofu la samaki na parachichi ila mimi kande kama kande hazipandi, nilikulaga nikaumwa tumbo balaa.Kande aga tamu ila..karibuni View attachment 856519
Mkuu .tabu iko pale pale[emoji23][emoji15][emoji15][emoji3][emoji3][emoji3]tuvumiliane tu hakuna namna
Mkuu, ni nini hii?
Dah, kwa dar sio huku mkoani. Sisi sheria msosi ulike mwingi muda woteYeah nashiba usiku haitakiw ule sana kamanda
Hii kitu utamu wake sio mchezo
Aisee!! kumbe ila huko si kazi ngumu ndio mana ila naamin sio woteDah, kwa dar sio huku mkoani. Sisi sheria msosi ulike mwingi muda wote
Vitumbua na mtindiMkuu, ni nini hii?
Roho mbaya hiyo [emoji36] mambo gani tunafanyiana?Usiku mwema Mungu awalindeView attachment 859970
Tupe description ya huu msosi mkuuMapumziko ya mwisho Wa juma View attachment 860867
Jamani nishaurini nile nini mwenzenu tangu jana mchana sijala, njaa inaniuma ila sina hamu ya kula.Mapumziko ya mwisho Wa juma View attachment 860867
Pole, au unaumwa? me nakushauri ule ugali na samaki na ukiongeza mboga za majani itapendezaJamani nishaurini nile nini mwenzenu tangu jana mchana sijala, njaa inaniuma ila sina hamu ya kula.
Asante, ninavyojisikia samaki sitaweza, nejaribu ugali mbogamboga na nyama ya kukaanga nimeishia kutapika. Hata sijui nifanyejePole, au unaumwa? me nakushauri ule ugali na samaki na ukiongeza mboga za majani itapendeza
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] kwa hali ya sasa na haya mazingira iko chakula sijui nitakila mwaka ganii nimekipenda sanaa