Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

.
IMG_20180909_140736_0.jpg
 
Nikioa nitanenepa
Aisee!! Alafu Hilo neno sio mara ya kulisikia kwani watu wembamba wana roho mbaya
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sijamaaninsha kuwa wembamba wanaroho mbaya ila sasa kama unakula vyakula vya kukufanya unenepe lakini hunenepi tusemeje tena
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sijamaaninsha kuwa wembamba wanaroho mbaya ila sasa kama unakula vyakula vya kukufanya unenepe lakini hunenepi tusemeje tena
Nafanya mazoez sana ndio màna sinenepi
 
Back
Top Bottom