Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Roho inapenda
IMG_20180926_125825.jpg
 
Labda kwako mkuu lkn sio jipya
Unachemsha tambi na chumvi kidogo, zikishaiva unaepua na kuzichuja alafu unachukua frying pan unaweka mafuta ya kupikia au blueband kiasi, unaweka jikoni. Then unaweka tambi zako unakatia na kitunguu, hoho, karoti kwa juu (kama unapenda lkn) kisha unaweka mayai uliyokwisha andaa (ulipovunja na kupiga piga kwny bakuli)

Then utakuwa unageuza geuza mpaka yakauke vzr then voila ready to eat [emoji39][emoji39]
Nitaijaribu hii kitu. Mrejesho nitaleta..


Leo hamjala au?
 
Labda kwako mkuu lkn sio jipya
Unachemsha tambi na chumvi kidogo, zikishaiva unaepua na kuzichuja alafu unachukua frying pan unaweka mafuta ya kupikia au blueband kiasi, unaweka jikoni. Then unaweka tambi zako unakatia na kitunguu, hoho, karoti kwa juu (kama unapenda lkn) kisha unaweka mayai uliyokwisha andaa (ulipovunja na kupiga piga kwny bakuli)

Then utakuwa unageuza geuza mpaka yakauke vzr then voila ready to eat [emoji39][emoji39]
Nimekupata vyema mkuu..
 
Back
Top Bottom