Tambi zege? Sijaelewa hapa Mkuu.Tambi zege +mtindiView attachment 877810
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tambi zege? Sijaelewa hapa Mkuu.Tambi zege +mtindiView attachment 877810
Duh.. Utadhani kitu cha PizzaTambi zege +mtindiView attachment 877810
Nitaijaribu hii kitu. Mrejesho nitaleta..Labda kwako mkuu lkn sio jipya
Unachemsha tambi na chumvi kidogo, zikishaiva unaepua na kuzichuja alafu unachukua frying pan unaweka mafuta ya kupikia au blueband kiasi, unaweka jikoni. Then unaweka tambi zako unakatia na kitunguu, hoho, karoti kwa juu (kama unapenda lkn) kisha unaweka mayai uliyokwisha andaa (ulipovunja na kupiga piga kwny bakuli)
Then utakuwa unageuza geuza mpaka yakauke vzr then voila ready to eat [emoji39][emoji39]
Tambi za mayai mkuuTambi zege? Sijaelewa hapa Mkuu.
Ni rahis sana kupika jaribu...Nitaijaribu hii kitu. Mrejesho nitaleta..
Leo hamjala au?
Nimekupata vyema mkuu..Labda kwako mkuu lkn sio jipya
Unachemsha tambi na chumvi kidogo, zikishaiva unaepua na kuzichuja alafu unachukua frying pan unaweka mafuta ya kupikia au blueband kiasi, unaweka jikoni. Then unaweka tambi zako unakatia na kitunguu, hoho, karoti kwa juu (kama unapenda lkn) kisha unaweka mayai uliyokwisha andaa (ulipovunja na kupiga piga kwny bakuli)
Then utakuwa unageuza geuza mpaka yakauke vzr then voila ready to eat [emoji39][emoji39]
Utashibaa?[emoji851][emoji851]@inna nibakshie[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Daaah, maisha haya ni matamu sana, we kifo ww ,basi tu !!
Nimevipenda Mh.Inna lakini nchi gani hapo?kule mbele ni mchicha?
Upo kwenye diet nini mkuu!?Ijumaa Kareem View attachment 879896
mnafu huoo..Tz apaNimevipenda Mh.Inna lakini nchi gani hapo?kule mbele ni mchicha?
It's furahi dayView attachment 859746
Hahahah amna, chiefUpo kwenye diet nini mkuu!?