mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
kwa picha hii nimekukumbuka, nilikua nakuchora muda huo!😊Leo nimekula hivi kwa Sele. Nilisahau kuwapa pichaView attachment 911833
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa picha hii nimekukumbuka, nilikua nakuchora muda huo!😊Leo nimekula hivi kwa Sele. Nilisahau kuwapa pichaView attachment 911833
😂😂😂Mwana sinia lote hili ulimaliza peke yako? Ndio maana wanawake mnakuwa na vitambi
AiseeTunaianza siku hivi..pembeni kuna chai ya mdalasini View attachment 912471
Bora nikapate supu na chapati mbili kwa mama bongeTunaianza siku hivi..pembeni kuna chai ya mdalasini View attachment 912471
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Bora nikapate supu na chapati mbili kwa mama bonge
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Mpka hichi umekitamani?
Kwanini manka?
.Tunaianza siku hivi..pembeni kuna chai ya mdalasini View attachment 912471
Watakwambia ya ku download
Unatumia simu mchina nn? Picha inatoka na maruerue
[emoji16][emoji16][emoji16].... Punguza vurugu MadameUnatumia simu mchina nn? Picha inatoka na maruerue
Karibu Goba..Leo kwangu bila bila wadau, tualikane basi tusogeze wkend
Mpakani auKaribu Goba..
No..goba ndambiMpakani au