harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
Mzigua90 utaniua kwa uroho mbaya zaidi mifuko imetoboka cha kujitetea sina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzigua90 utaniua kwa uroho mbaya zaidi mifuko imetoboka cha kujitetea sina.
Mzigua90 utaniua kwa uroho mbaya zaidi mifuko imetoboka cha kujitetea sina.
Mkuu hakuna mtu aliyewahi shindana na chakula kisha akashinda.Aisee wanaume wa dar,sasa hapo unashiba kabisa kweli mzee?
[emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hakuna mtu aliyewahi shindana na chakula kisha akashinda.
U're food intake should be relevant with several factors ie age,gender,kind of work etc.
Sisi wa Dar hatuna mashamba ya kwenda kulima wala sio makuli masokoni.
Nyie lazima mle ugali kilo 2 asubuhi kwa kuwa mna mashamba ya kulima na kazi za kubeba magunia magulioni.
[emoji382] [emoji382]Mkuu hakuna mtu aliyewahi shindana na chakula kisha akashinda.
U're food intake should be relevant with several factors ie age,gender,kind of work etc.
Sisi wa Dar hatuna mashamba ya kwenda kulima wala sio makuli masokoni.
Nyie lazima mle ugali kilo 2 asubuhi kwa kuwa mna mashamba ya kulima na kazi za kubeba magunia magulioni.
Yummy..
This is ur fav i guess [emoji14]
Mwaliko wako umepokelewa kwa mikono miwili...Nikipika tena ntakukaribisha
MATE PIPA MM[/hiki chakula kilinishinda sikipendiiii
Hapo ningeacha mchuzi tu.Usiogope sio matunda kwa chini.., Ni kioo Cha table zetu za kichina hizo
Home madeView attachment 916846