Cha mtume.....[emoji1] [emoji1]
Raha ya pilau ule kwenye mkeka sio..!??
Ndioo me napenda kula kwenye mkeka mwenzenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha mtume.....[emoji1] [emoji1]
Raha ya pilau ule kwenye mkeka sio..!??
Hivi unakuwa mzuri tu??Ugar mayai wa faster fasterView attachment 956975
Yeah unapendeza tu hujawah kutumiaHivi unakuwa mzuri tu??
No sijawahi..nikipata nafasi nitauonjaYeah unapendeza tu hujawah kutumia
Ni mboga ya faster kama huna nyingine ya ziada unaunga vitunguu,karot,hoho na mayai mm napenda kama nakuwa na harakaNo sijawahi..nikipata nafasi nitauonja
Ni mboga ya faster kama huna nyingine ya ziada unaunga vitunguu,karot,hoho na mayai mm napenda kama nakuwa na haraka
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu naiona misumari ya bati hapo
Bwana we, napambana na hali yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu naiona misumari ya bati hapo
Naona leo upo geto,
Hiki ni nini??
Pilipili hiyo..ina nazi embe bichi thomu na chumvi.Hiki ni nini??
Nakuja wa mkoani utafurahi tuBwana wee!
Pilipili hiyo..ina nazi embe bichi thomu na chumvi.
hhhhm mze hapa kila kitu kiko sawa ila sielewi uwepo wa hivyo vitunguu hapoWazee wa diet karibunView attachment 957480
SwadaktaaaaNdioo me napenda kula kwenye mkeka mwenzenu.
Dah...ubaguzi wa rangi umeanza kurudi taratibu[emoji1787][emoji1787]Ok kwa aliyepo postaa muda huu unaweza kujaa hapa Akemi.....i will buy you lunch before 13.00 na awe mwanaume mweusi mrefu aliyenyoa kipara and not under 35........[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 951341