charrote
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 1,848
- 4,146
Napenda ila uwezo ndio sina,so siwez nenepa.Aisee sasa si utanenepa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napenda ila uwezo ndio sina,so siwez nenepa.Aisee sasa si utanenepa sana
Napenda ila uwezo ndio sina,so siwez nenepa.
Dah! Naona juhudi zako kunifunika[emoji16][emoji16][emoji39]Alamsiki View attachment 958430
[emoji2][emoji2] najikongoja ado adoDah! Naona juhudi zako kunifunika[emoji16][emoji16][emoji39]
Wewe dada vinci hulagi?Hua mwavidanlodi wapi hivi vyakula....???????
Nakulaga ila sijawahi kula kama hivi vyakula mnavyokula nyie humu..Wewe dada vinci hulagi?
Mbona misosi ya kitanzania ya kawaida kabisa hii!Nakulaga ila sijawahi kula kama hivi vyakula mnavyokula nyie humu..
hafu huyu umenikumbusha huyu mtu ngoja nimsake
basi chakula nachokula ni outdated maana nikibadilisha ni bokboko tuMbona misosi ya kitanzania ya kawaida kabisa hii!
Unamtafuta wapi wakati Malcom Lumumba alituambia kuwa ndio wewe?
Hahaha basi uwe unachungulia humu utapata recipies nyingi na nzuri ukaanda msosi mtamu kuna wadada wanajua kupika sana.basi chakula nachokula ni outdated maana nikibadilisha ni bokboko tu
Uzi wa vyakula tu - JamiiForums
kama hiki chakula hapa hata sijui ni chakula gani naona minyororo tu..
malcom chizi yule endelea kumsikiliza
[emoji23][emoji23]ohhhhhooo kama ni hivyo nitakua mgeni wa huu uzi kila siku ili nipate nami japo kaofa nili vyakula vya maana
Mkuu hizo tambi umeweka recipe gani au umeunguza? [emoji23]
Mkuu hizo tambi umeweka recipe gani au umeunguza? [emoji23]
Za kukaanga boss ni picha tu hazijaungua [emoji13]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]basi chakula nachokula ni outdated maana nikibadilisha ni bokboko tu
Uzi wa vyakula tu - JamiiForums
kama hiki chakula hapa hata sijui ni chakula gani naona minyororo tu..
malcom chizi yule endelea kumsikiliza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] da afazali nilijuwa umeweka cha kutambiaMchana ndo huu tualikane wapendwa [emoji31][emoji31]View attachment 959108
Hii ndio mnaiitaje tena mamdogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vyuma baba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] da afazali nilijuwa umeweka cha kutambia