THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,055
- 4,695
Nataka uwe muhogo[emoji1]Naona unaboresha kibamia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka uwe muhogo[emoji1]Naona unaboresha kibamia
Chapati nusu,kamchuzi kidogo,maharage na ndizi mzuzuView attachment 960974
Mara moja moja sio mbayaMpishi maridadi sana[emoji1476]
Ntajaribu next time in sha allahNdio,
Tende maziwa na karanga
Ntajaribu next time in sha allah
Mara moja moja sio mbaya
Sijui nkudanganyee...!!![emoji1] [emoji1]Umepika wewe?
Huamini eee...!![emoji1] [emoji1] farkhinaLabda umdanganye nyau,kwa namna vyakula vinavyoonekana huwezi kuwa umepika wewe [emoji13] labda ulikua muonjaji.
Karibu Na hukuChapati nusu,kamchuzi kidogo,maharage na ndizi mzuzuView attachment 960974
Kiporo cha maharage kinajua kuonewa jamaniChai kiporo View attachment 961276
Raha ya kiporo kiwe cha wali maharage na chai ya rangi[emoji1] [emoji1]Chai kiporo View attachment 961276
Usimalize Nakuja..!!Karibu Na hukuView attachment 961268
Hiki kiporo ni funga kazi..na kile cha wali kisamvu. Hivi ndo vinafanyaga mtu unavunja diet unasema ntaendelea kesho[emoji23] [emoji23]Chai kiporo View attachment 961276
Kweli kabisa ukikutana nacho lazima diet utaweka pembeni [emoji38][emoji38][emoji38]Hiki kiporo ni funga kazi..na kile cha wali kisamvu. Hivi ndo vinafanyaga mtu unavunja diet unasema ntaendelea kesho[emoji23] [emoji23]
Kama hivoRaha ya kiporo kiwe cha wali maharage na chai ya rangi[emoji1] [emoji1]