Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Sio poa
FB_IMG_1581061429988.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kwa mwanaume ukila kama week mfululizo lazima utokee tako....watchout guys

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli chief, kwa hii nakukatalia, ningeanza kutoka mimi ndizi za nazi nazipenda kinoma, na samaki wiki moja mara mbili tu huwa sipiki samaki.

ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
 
Back
Top Bottom