Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Adobo... Mboga ya kifilipino[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
IMG_20200520_181339.jpg


Sent from my Redmi 8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa anayepika aweke recipe basi....


Kwa ambaye hajaanza kupika na anahaya mahitaji tuingie jikoni.

-samaki -perege itakuwa kizazi
-mboga za majani (sukuma kizazi
samaki ataliwa kwa ugali au wali.

Acha iwe wali..
 
Back
Top Bottom