Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Haaah shangazi hapa kwa kweli inabidi tu tukaribishane sikubali!
ukuje banaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaah shangazi hapa kwa kweli inabidi tu tukaribishane sikubali!
[emoji23][emoji23][emoji23] Nakuja ila me nakula ujazo wa paka haruki yan kuanzia plate 2+ukuje banaaa
[emoji23][emoji23][emoji23] Nakuja ila me nakula ujazo wa paka haruki yan kuanzia plate 2+
MUNGU MKUBWA. Dada pole Sana kwa kuumwa. Hata mie nimepitia huko na Leo hii natengeneza dawa ya kutibu Ulcers moja kwa moja na utathibitisha kwenye vipimo. Muda si mrefu nitakuwa nimekamilisha taratibu za serikali Inshaallah. Karibu Sana.Njia za asili zimenishinda kabisa..na hivi dkt ananiambia nisifanye mchezo kwenye kula.
Nitazitumia hata kidogo tu ili nile Sana nipone hivi vidonda vya tumbo.
Hapa ngoja niende kwa mangi nikachukue Pepsi ya bariiiiid nshushie [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1484255
View attachment 1484256
Angalau na mimi leo nimejipikilisha [emoji12][emoji39]
Haaah nakubalihaina shida unapataa hata mbwa haruki
Safi baharia umetisha sana! Hapo hata akija mtoto geto lazma akubali hilo pishiwakuu, leo nmejarib kupika,kigetogeto, ugali bado.View attachment 1484458
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ngoja niende kwa mangi nikachukue Pepsi ya bariiiiid nshushie [emoji23][emoji23][emoji23]
Asante ila dah hyo menu ndo km nakutana nayo mida hii na ubao nilionao hapa! Aisee ntakimbiza vbaya sana had sufuria ntakombaHahah karibu mkuu. [emoji3]
Asante ila dah hyo menu ndo km nakutana nayo mida hii na ubao nilionao hapa! Aisee ntakimbiza vbaya sana had sufuria ntakomba
[emoji23][emoji23][emoji23] Labda angalau maana km ni hyo peke ake nadhani ntalitoboa sufuriaHahha au upate kaugali pembeni.
Haya sasa mida ndo hii jaman kina SAINT ANNE, DINAZARDE, BINTI KIZIWI njaa zinauma
hapa atkubali tu..namuambia kaa mama pale utulie,..nikupikie leo[emoji23]Safi baharia umetisha sana! Hapo hata akija mtoto geto lazma akubali hilo pishi
duuh, mkuu mm bora niache kula mchana si usiku[emoji23]....kwanza huwa sipendi ratiba ya msosi inipite...kwa cku mara 3...ni dozeusiku mi huwa sili aisee
Mara chache sana labda nikitoka out
duuh, mkuu mm bora niache kula mchana si usiku[emoji23]....kwanza huwa sipendi ratiba ya msosi inipite...kwa cku mara 3...ni doze
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Tunakubali mkuu yan bakuli yetu ile ile