I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Niliwahi kuona mtu anatengeneza namna hiyo ila yeye hakusaga ila alikata kata vipande na kukaanga kama chips vile. Daah maisha kujaribu. Fanya utupe mrejesho.Zile za kulia ubwabwa nasema..za njano zile
Nimewaza hivi uchukue uziponde ponde uchanganye na yai alaf ukaange kama chapati au vyovyote vile
Sijui itamake sense kweli ?