Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

IMG-20210730-WA0038.jpg
 
Mbuzi na choma kwa kutumia chumvi tu
Chief mimi si mtaalam sana wa kuchoma mbuzi, lakini nikitaka kuchoma mbuzi vizuri nafanya ifuatavyo, naanza kwa kuchoma kwa moto wa kawaida kutumia tangawizi na chumvi hadi akishawiva lakini asikauke sana. Baada ya hapo pembeni naandaa tangawizi ya kusaga kama rojo rojo naweza ichanganya na chumvi sio nyingi sana. Sasa ile nyama ambayo imeshawiva naipasua kuweka michirizi na kupaka huo mchanganyiko na kurudishia kwenye moto mdogo mdogo, kama ni yale majiko ya kufunika nafunika kama dakika 5 - 10 hivi! Balaa la hapo [emoji39][emoji39][emoji39]
 
mbona kama umeshtuka hivi[emoji23][emoji23]kaa kwa kutulia tuelewane vizuri,umeuliza nn ati!?
Nimeuliza hivi wewe ni Rugemalila, au Kyaruzi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Nimeuliza hivi wewe ni Rugemalila, au Kyaruzi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji38][emoji38]mimi ni wote,both a NA b NI correct.
 
[emoji38][emoji38]mimi ni wote,both a NA b NI correct.
8 405 1235
[emoji115][emoji115][emoji115] Nterela nikugambile! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom