HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,563
- 48,223
Ugali mdogo sana Dina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugali mdogo sana Dina
Ni mkubwa mboga nyingi sanaUgali mdogo sana Dina
Hupati notification jamaniVyakula Bahari vinanibamba mno
Aisee! Nimekumbuka mashairi ya wimbo mmoja wa Khadija Kopa, unaitwa "Utalijua jiji". Kuna mashairi yanasema "Ninampa maandazi na chai ya tangawizi"
Asante baba diet[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sipati picha output yake huu msosi hasa kwenye ile "gesi"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️
Unataka kula marotarota tu sio?Studio nitoe mimi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️
Naona mboga tu bila ugali .Unataka kula marotarota tu sio?
Huu Mlo matata sana, kwa jinsi nilivyoutamani!
Mchemsho huu
[emoji23][emoji23][emoji23]hii kweli kiafya zaidi