Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijapata kuona kuku mjinga kama huyu, usikute hapa anajiuliza yuko wapi.
Leo nimepika makande yenye mchanganyiko wa maharage, mahindi,njugu,choroko na karanga.ni matamu balaa naweza kukifanya kuwa chakula changu kikuuView attachment 2159685
Mixer ya hatari spati picha akipiga bomu pale yukiraini😁Huu mchanganyko umenishangaza 🤔, hongera mkuu kwa ubunifu 😊
Kabisa,nimekuja kufanya nini?Sijapata kuona kuku mjinga kama huyu, usikute hapa anajiuliza yuko wapi.