Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Hivi wilaya ya Kilombero waliikosea nini serikali? Kuanzia pale mto ruaha, ni vumbi tu unaanza mlima udzungwa na vumbi, sijui kidatu, msolwa, sanje, mang'ula, kiberege, ziginali kote huko ni vumbi kidooogo kabla hujafika ifakara kuna kilami katikati, baada ya hapo ni vumbi mpaka ifakara, kwenda huko malinyi, mbingu, mahenge koote huko vumbi tu..
Wameanza kuweka lami kwanzia pale luaha hadi karibu na ifakara ila ukishavuka kwenye lile daraja la chuma kuelekea mbingu wanachongewa tu ili vumbi liwapate vizuri kiufupi serikali iwaangalie vizuri wananchi wa kule ni mateso ukipanda gari public inayotoka malinnyi,mlimba,mngeta,mbingu kuja hadi ifakara yani ukakua kama umetoka kumwagiwa vumbi
 
Wameanza kuweka lami kwanzia pale luaha hadi karibu na ifakara ila ukishavuka kwenye lile daraja la chuma kuelekea mbingu wanachongewa tu ili vumbi liwapate vizuri kiufupi serikali iwaangalie vizuri wananchi wa kule ni mateso ukipanda gari public inayotoka malinnyi,mlimba,mngeta,mbingu kuja hadi ifakara yani ukakua kama umetoka kumwagiwa vumbi
Nitakuja kutembea
 
Wameanza kuweka lami kwanzia pale luaha hadi karibu na ifakara ila ukishavuka kwenye lile daraja la chuma kuelekea mbingu wanachongewa tu ili vumbi liwapate vizuri kiufupi serikali iwaangalie vizuri wananchi wa kule ni mateso ukipanda gari public inayotoka malinnyi,mlimba,mngeta,mbingu kuja hadi ifakara yani ukakua kama umetoka kumwagiwa vumbi
Nitakuja kutembea
 
Wazee nimefungua restaurant kariakoo hapo, mtaa wa muheza karibuni mniunge mkono ndugu zangu, si lazima kujitambulisha unaweza fika ukapiga msosi ukaondoka, ukiona si mbaya kujuzana si mbaya tukachekiana kama nitakuwepo(sikai saana hapo) ofisini tupige stori mbili 3, JamiiForum ni familia
Hii birian ya kibabe sana
 
😋😋Hii si basmat!? Hebu nielekeze siku nami nimtolee kitu mama watoto astaajabu.
Ni rahisi mno

Unakaanga kitunguu maji na thomu kidogo mpaka vitie rangi

Unaweka carrot kiasi Kama 3 hiv size ya kati

Unatia curry powder
Unaweka maharage

Kisha unamalizia basmati yako uliyoloweka na chumvi ( uloweke kiasi 10mnts na Chumvi kiasi kisha utaosha vizuri)

Basmati inapenda maji hivyo utaweka mengi kiasi

Unafunikia tayari kuliwa

Note: sipend spices so unaweza kuongezea unavyotaka
 
Wazee nimefungua restaurant kariakoo hapo, mtaa wa muheza karibuni mniunge mkono ndugu zangu, si lazima kujitambulisha unaweza fika ukapiga msosi ukaondoka, ukiona si mbaya kujuzana si mbaya tukachekiana kama nitakuwepo(sikai saana hapo) ofisini tupige stori mbili 3, JamiiForum ni familia
Muheza na nini?

Mnafanya delivery around kkoo?
 
Screenshot_20220822-040445.jpg
 
Ni rahisi mno

Unakaanga kitunguu maji na thomu kidogo mpaka vitie rangi

Unaweka carrot kiasi Kama 3 hiv size ya kati

Unatia curry powder
Unaweka maharage

Kisha unamalizia basmati yako uliyoloweka na chumvi ( uloweke kiasi 10mnts na Chumvi kiasi kisha utaosha vizuri)

Basmati inapenda maji hivyo utaweka mengi kiasi

Unafunikia tayari kuliwa

Note: sipend spices so unaweza kuongezea unavyotaka
Ngoja siku nimvurugie vurugie mke wangu.. Maana kupika sijui 😂
 
Back
Top Bottom