makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nitashukuru saana mkuu.Mkuu nitakaribia nikirejea dar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitashukuru saana mkuu.Mkuu nitakaribia nikirejea dar.
Wameanza kuweka lami kwanzia pale luaha hadi karibu na ifakara ila ukishavuka kwenye lile daraja la chuma kuelekea mbingu wanachongewa tu ili vumbi liwapate vizuri kiufupi serikali iwaangalie vizuri wananchi wa kule ni mateso ukipanda gari public inayotoka malinnyi,mlimba,mngeta,mbingu kuja hadi ifakara yani ukakua kama umetoka kumwagiwa vumbiHivi wilaya ya Kilombero waliikosea nini serikali? Kuanzia pale mto ruaha, ni vumbi tu unaanza mlima udzungwa na vumbi, sijui kidatu, msolwa, sanje, mang'ula, kiberege, ziginali kote huko ni vumbi kidooogo kabla hujafika ifakara kuna kilami katikati, baada ya hapo ni vumbi mpaka ifakara, kwenda huko malinyi, mbingu, mahenge koote huko vumbi tu..
Nitakuja kutembeaWameanza kuweka lami kwanzia pale luaha hadi karibu na ifakara ila ukishavuka kwenye lile daraja la chuma kuelekea mbingu wanachongewa tu ili vumbi liwapate vizuri kiufupi serikali iwaangalie vizuri wananchi wa kule ni mateso ukipanda gari public inayotoka malinnyi,mlimba,mngeta,mbingu kuja hadi ifakara yani ukakua kama umetoka kumwagiwa vumbi
Nitakuja kutembeaWameanza kuweka lami kwanzia pale luaha hadi karibu na ifakara ila ukishavuka kwenye lile daraja la chuma kuelekea mbingu wanachongewa tu ili vumbi liwapate vizuri kiufupi serikali iwaangalie vizuri wananchi wa kule ni mateso ukipanda gari public inayotoka malinnyi,mlimba,mngeta,mbingu kuja hadi ifakara yani ukakua kama umetoka kumwagiwa vumbi
Sawa mkuu usogee uangalie mazingira unaweza ukapata na shamba la kulima mpunga kule.Nitakuja kutembea
Poa kaka.Sawa mkuu usogee uangalie mazingira unaweza ukapata na shamba la kulima mpunga kule.
Kumbe mkuu umeshafika
Hii birian ya kibabe sanaWazee nimefungua restaurant kariakoo hapo, mtaa wa muheza karibuni mniunge mkono ndugu zangu, si lazima kujitambulisha unaweza fika ukapiga msosi ukaondoka, ukiona si mbaya kujuzana si mbaya tukachekiana kama nitakuwepo(sikai saana hapo) ofisini tupige stori mbili 3, JamiiForum ni familia
Ni rahisi mno😋😋Hii si basmat!? Hebu nielekeze siku nami nimtolee kitu mama watoto astaajabu.
Muheza na nini?Wazee nimefungua restaurant kariakoo hapo, mtaa wa muheza karibuni mniunge mkono ndugu zangu, si lazima kujitambulisha unaweza fika ukapiga msosi ukaondoka, ukiona si mbaya kujuzana si mbaya tukachekiana kama nitakuwepo(sikai saana hapo) ofisini tupige stori mbili 3, JamiiForum ni familia
Muheza na tandamti, hatujaanza. Ila soon tutaanza.Muheza na nini?
Mnafanya delivery around kkoo?
Ngoja siku nimvurugie vurugie mke wangu.. Maana kupika sijui 😂Ni rahisi mno
Unakaanga kitunguu maji na thomu kidogo mpaka vitie rangi
Unaweka carrot kiasi Kama 3 hiv size ya kati
Unatia curry powder
Unaweka maharage
Kisha unamalizia basmati yako uliyoloweka na chumvi ( uloweke kiasi 10mnts na Chumvi kiasi kisha utaosha vizuri)
Basmati inapenda maji hivyo utaweka mengi kiasi
Unafunikia tayari kuliwa
Note: sipend spices so unaweza kuongezea unavyotaka
Karibu mkuu.Hii birian ya kibabe sana
Nikerejea dsm mguu wa kwanza kwako mkuuKaribu mkuu.
Okay Nipo Lindi na SwahiliMuheza na tandamti, hatujaanza. Ila soon tutaanza.
Kama si mitaa ya mbali, tutakufikishia.
Hapana.Kumbe mkuu umeshafika