Waseme
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,603
- 4,082
Umesemaje eti??Jana sikukuitia tunda [emoji23]
Marafiki zangu wa Yanga walinikwaza [emoji23] Dr Lizzy View attachment 2626287
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesemaje eti??Jana sikukuitia tunda [emoji23]
Marafiki zangu wa Yanga walinikwaza [emoji23] Dr Lizzy View attachment 2626287
Kwa hiyo ni form 4
Nini hicho
Marafiki wa yanga mnanikwaza 🤣🤣Umesemaje eti??
Acha unaaNini hicho
Sawa.Marafiki wa yanga mnanikwaza 🤣🤣
Mtura?Acha unaa
Hujawahi kuona hicho chakula!!
Shusha picha tushibe[emoji23][emoji23][emoji23] huwa unakera wewe
Nimesahau kupiga halaf sipo home leoShusha picha tushibe
Nadhani mi mgonjwa maana hata nileje lazima nisikie njaa mapemaNimesahau kupiga halaf sipo home leo
Nimekula hapa nilipo nimesahau piga picha si uliona ile samaki nilipiga ishaisha imebaki mifupa nimezeeka banaNadhani mi mgonjwa maana hata nileje lazima nisikie njaa mapema
Doctor kashauri tutumie sufulia ndogo.Mim pia inabidi kupata sufuria ndogoo
Ukipikia sufuria kubwa maji madogo hautokoti unga vizurii
Ni kweli kabisaDoctor kashauri tutumie sufulia ndogo.
[emoji23][emoji23][emoji23] hii kauli imenikumbusha kiclip cha insta kuna jamaa anasema "I don't want a peace, I want problem always''Unapenda vita
Ni ugali huo mkuu, wa mahindi lisheHayo matonge manne pembeni ni ya nini? [emoji1]
Kweli[emoji23][emoji23][emoji23] hii kauli imenikumbusha kiclip cha insta kuna jamaa anasema "I don't want a peace, I want problem always''
Kweli jamaa anachekesha[emoji23][emoji23][emoji23] hii kauli imenikumbusha kiclip cha insta kuna jamaa anasema "I don't want a peace, I want problem always''