Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji39]kombo ya wali maharage haijawahi kupingwa tangu dunia iumbwe
[emoji28][emoji28]kweli na mboga yake yaani wao ni kama pimbi na kingwendu, Aki na Ukwa,Kulwa na Doto,Otimbi na Timbilio,diamond na wasafi kifupi wanamatch sanaWanasemaga wali na mboga yake[emoji16][emoji16]
Hapa tunaongea lugha imefanana😋Baada ya sala. View attachment 2645540
Nadoea pembeni hapa mama yangu😋
Cow foot soup sempre pendreMsaada supu ya kongoro in English View attachment 2646145
Njiani hapa na njaa hizi😁Mje kututembelea
Mpiga mabox upo ? Tulijua uliondoka na wasiojulikana😁
[emoji16][emoji16] hamna ni kadogo labda picha nimeipigia karibuMbona kama portion ya siku mbili we unasema kidogodogo?
Haswaaa.
Tatizo hamtoi location mapemaMje kututembelea
Mimi huwa natoa hapa mbonaTatizo hamtoi location mapema
Watu mna utani na njaa🤣View attachment 2648308
Usiku wangu leo utakuwa mrefu 😀😀
Aisee ujue ipo siku tutatimba hapo Kimara/Mbezi MwishoMimi huwa natoa hapa mbona
Halafu j2 mara nyingi napika pilau.
Mara chache chache sana pilau kukosa j2