mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii yote unamaliza?
ndio😥 kwahiyo hunitaki tena?Hii yote unamaliza?
Kwani mimi nilisema nakutaka😂? Hii mihogo mingi sanandio😥 kwahiyo hunitaki tena?
kwenda hukoKwani mimi nilisema nakutaka😂? Hii mihogo mingi sana
Kwahiyo umemaliza?kwenda huko
nimeshakazia na maji kabisa, hapo mpaka kesho tena nimeshiba sanaKwahiyo umemaliza?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Operesheni punguza mwili naona inakwenda vizuri [emoji23]
Mbona chakula kingi sana hichoDaah hapa unakula nini aisee au una maintain [emoji15]
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Moyo u radhi lakini mwili ni dhaifu..
Tuombeane mdogo wangu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vijiko vitano tu vya chakula vinatosha.
Tena ule mboga za kuchemsha tu..Achana na pizza.