Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

huyu ataweza kumaliza chote hicho
au kisa amechanga?

Mie huyo...πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Na kiliisha...πŸ˜…πŸ˜…πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
20240624_165009.jpg
 
20240627_042507.jpg


Wali chuzi na mapaja yake yakisindikizwa na maji yaliyomarinetiwa na maganda ya limao ....πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

20240627_044003.jpg


Some more paja....😊


20240627_044610.jpg


Ushahidi ulifutwa na chungwa likahitimisha safari ya mlo 😊😊😊.

Ashukuriwe Maulana.
 
20240628_024132.jpg


Mualiko mezani....

20240628_024742.jpg


Macaroni, ground pork na mambogamboga ya carrot hoho onions brocoli cauliflower zucchini and irish potato.

It was yummy....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ maji ya beetroot na limao yalisindikiza mlo.

20240628_030045.jpg


Ndizi ilisindikiza mlo..

20240628_030817.jpg


Some more.....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Back
Top Bottom