Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaWakuu naweza pata wapi IPhone X au 7plus?
Maduka Gani Original?
Ukiacha Mlimani city wenye Bei kubwa,Maduka mengine vipi? Na Bei zake!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bonyeza batani ya kuzima na hapo kweny kiduara kwa pamoja
Sawa mkuu. Sisi wenye TECNO ngoja tupite kando...Habari wajanja wa mujini,
Kama una simu ya iphone hebu tupia mambo mbali mbali ambayo iPhone inafanya ili tupate maujuzi.
Please kama una simu yako ambayo sio IPhone usichangine maana hii Habari ya Iphone tu wengine simu za Kariakoo pumzikeni kwanza
Au cheap imechoka? Nilishawahi kuwa na 6s nikiweka tigo ya tangu enzi za mwinyi kanaleta pigo za no servive, nikiweka halotel kanatuliaJaman kuna iphone hapa natumia bt the problem imeanza kuandika searching halaf no service hata kama ukiwek au ukitoa line unawez niulizia kwa mt mwenye utaalam au kam ipo ndan ya uwezo wako ukanisaidia kufix tatizo ndug zang
Jaman kuna iphone hapa natumia bt the problem imeanza kuandika searching halaf no service hata kama ukiwek au ukitoa line unawez niulizia kwa mt mwenye utaalam au kam ipo ndan ya uwezo wako ukanisaidia kufix tatizo ndug zang
mmmmm
Kwa sasa simu ya Iphone yenye uangalau ni iphone 8Asee mm nina 6s inazingua kutuma message tatizo itakua nini wakubwa
6s na 8 zote zina ram 2gb na zina latest update,ni ngumu kuona tofauti ya msingu hasa kama ni mtumiaji wa kawaida.Kwa sasa simu ya Iphone yenye uangalau ni iphone 8