Uzi wama-second born

Uzi wama-second born

Mm n second born lakn Kama vile tu first born coz bro Wang cmuelewagi kabisa mambo yake Yan apend maendleo yy n pombe na pisi
 
Mzee wang kama
Watoto wa pili kama no msichana huwa no mzr ikiwezekana kuliko wote na kama ni mvulana huwa no handsome hasa akifuata msichana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Cjakuel
Watoto wa pili kama no msichana huwa no mzr ikiwezekana kuliko wote na kama ni mvulana huwa no handsome hasa akifuata msichana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto wa pili kama no msichana huwa no mzr ikiwezekana kuliko wote na kama ni mvulana huwa no handsome hasa akifuata msichana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wang cjakuelewa
 
Mkifungua uzi wa ma first born mnitag!
 
as a second borne nakula msoto ila siwezi sema ni kama brother ambaye ndo first borne...hata kama first borne ni mlevi au malaya still nampa heshima yake nikiamini utotni pia atakua amesota sana kwenye familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣👌🏾
Masecond born hatuna stress....kazi kujikalia sebuleni na kusikiliza first born na last born wanavyorushiana maneno....

Huku tunajismea mioyoni heehehe...hawa hawakumbwa na corona.
 
Back
Top Bottom