Uzi wangu wa kwanza

Forfofo

Senior Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
161
Reaction score
359
Huu ndo uzi wangu wa kwanza humu, mnikarbishe lkn yote ya yote umri umefika sasa kuwa na ndoa miaka 29 si haba.

Kwaio connection yenu ni muhimu kuhakikisha hili linafanikiwa. Kuanzia kuniungishia pisi humu, na kupush nitakapokwama si mnaelewa kuna michango pia!

Asanteni niko humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…