Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaha mbna yupo vzr kjanaTakataka 😂😂💔
JichanganyeMbona mapis wengi tuu
Hii shotAhaha mbna yupo vzr kjana
Waambie jf codntorMwachiluwi pm yangu haifunguki natumia safari browser
AhahHHii shot
Em sema kweliii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jf wote ni wanaume mademu wa jf ndo hao hao wa mtaani kwenu, sema wa huku wanakua na magari mazuri kazi nzuri mashangazi na hawategemei vipato vya waume zao
Umesha msalimia Ziro IQ?Huu ndo uzi wangu wa kwanza humu, mnikarbishe lkn yote ya yote umri umefika sasa kuwa na ndoa miaka 29 si haba.
Kwaio connection yenu ni muhimu kuhakikisha hili linafanikiwa. Kuanzia kuniungishia pisi humu, na kupush nitakapokwama si mnaelewa kuna michango pia!
Asanteni niko humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Mbona hio ipo waziEm sema kweliii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em apiaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona hio ipo wazi
Ndoa ni zaidi ya mapenzi!well saidNdoa si mapenzi
Na wote tuna masters😂Jf wote ni wanaume mademu wa jf ndo hao hao wa mtaani kwenu, sema wa huku wanakua na magari mazuri kazi nzuri mashangazi na hawategemei vipato vya waume zao