Uzi wangu wa kwanza

Jf wote ni wanaume mademu wa jf ndo hao hao wa mtaani kwenu, sema wa huku wanakua na magari mazuri kazi nzuri mashangazi na hawategemei vipato vya waume zao
Em sema kweliii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umesha msalimia Ziro IQ?
 
Jf wote ni wanaume mademu wa jf ndo hao hao wa mtaani kwenu, sema wa huku wanakua na magari mazuri kazi nzuri mashangazi na hawategemei vipato vya waume zao
Na wote tuna mastersπŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…