UZII HUU WAKUZINGATIA KWA WANAUME WOTE

UZII HUU WAKUZINGATIA KWA WANAUME WOTE

Thabit Madai

Member
Joined
Oct 8, 2024
Posts
54
Reaction score
140
Mwanaume ukijitambua vizuri utagundua kuwa,

Haitoshi kuamini unapendwa kwa kuambiwa au kwa text like "NAKUPENDA"

Mwanaume hapendwi bali anaheshimiwa, Bro ukiheshimiwa utapenda tu

Ndio maana we choose to marry mid girls with respect, hawa classy ladies tunatumia kama Path.
 
wanaume wa kizazi hiki mnakua na insecurities hamjiamini kila kitu mnaria woga. mwanamke msomi hamtaki,mwanamke mwenye pesa hamtaki mzuri hamtaki yani mnakuwa kama wajingajinga.

taifa lolote likishakua na wanaumee weak kimawaO lazima litapwaya
 
Back
Top Bottom